Tafadhali subiri..
x

Kuhusu EfG

Equality for Growth


Equality for Growth ni Shirika lisilo la Kiserikali lenye msingi wa haki, lenalolenga kuwawezesha wanawake wa sekta isiyo rasmi nchini Tanzania. EfG ilianza mwaka 2008, tangu wakati huo imekuwa ikipigania sauti, kuonekana, na haki za wanawake wanaofanya kazi katika uchumi usio rasmi wa Tanzania. EfG ilianzishwa na kusajiliwa nchini Tanzania tarehe 6 Agosti 2008 na namba ya usajili 66935, na baadaye mwaka 2011 shirika hilo lilipata cheti cha Ufuataji wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali chenye namba 00001544. Walengwa wa kazi za EfG ni wanawake wajasiriamali wanaofanya kazi katika sekta za rasmi na isiyo rasmi .

Ofisi za EfG

NHC, Mandela Road
Opp. National Stadium, Plot No. 322 (2nd floor)
P.O. Box 79329,
Dar es Salaam,
Tanzania

Mawasiliano

Simu: +255-22-285 0422 (Ofisi)

Simu: 0765-477539 (Simu ya mkononi)

Uongozi

Penina Reveta – Mwenyekiti wa bodi

Jane Magigita – Mkurugenzi wa shirika

x

Usajili wa wanachama

x

Taarifa za mwanachama



x

Wasiliana nasi

Kama una swali au unahitaji msaada wowote tafadhali wasiliana nasi:


Kwa msaada wa kiufundi:


x

Ingia ndani ya mfumo

Tafadhali ingiza namba yako ya uwanachama na neno lako la siri ili uweze kufurahia huduma zingine zitolewazo ndani ya mfumo wa UMAPIDO.